RASMI KOCHA MPYA WA SIMBA HUYU HAPA, WENYEWE WAMTANGAZA January 18, 2018 by Global Publishers

RASMI KOCHA MPYA WA SIMBA HUYU HAPA, WENYEWE WAMTANGAZA

Kocha  Mkuu mpya wa Simba Mfaransa Pierre Lechantre.
Klabu ya Simba inayo furaha kubwa kuwajulisha Wanachama na washabiki wake kwamba imempata kocha wake mkuu mpya, Mfaransa Pierre Lechantre.
Kocha huyo mzoefu ataanza kazi mara moja na atasaidiwa na kocha msaidizi wa sasa Masoud Djuma ambae alikuwa akikaimu nafasi hiyo
Kocha Lichantre keshawahi kufundisha vilabu kadhaa duniani kikiwemo kikosi cha Timu ya Taifa ya Cameroun kilichotwaa ubingwa wa Africa 2000.
Kocha huyo pia alipata kuwa kocha bora wa Afrika mwaka 2001 na pia barani Asia mwaka 2012.
Lechantre amekuja pia na kocha wa viungo Mmorocco Mohammed Aymen Hbibi
Na leo jioni kocha Lechantre ataishuhudia Simba ikicheza na Singida United kwenye Uwanja wa Taifa.
IMETOLEWA NA
HAJI S MANARA
MKUU WA HABARI SIMBA SC

SIMBA SC NGUVU MOJ
Share on Google Plus

About NASWIHEART

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Chapisha Maoni